top of page

Makala za Mwanadikala

Tundu Lisu Mhaini!? Hapana! CCM Hebu Jifunzeni Kuchutama…
Uko msemo wa Kiswahili usemao “Ukivuliwa nguo chutama.” Msemo huu unaonesha hekima ya kutenda kwa akili baada ya kudharilishwa....
18 hours ago
0

Quran Inaeleza Nini Kuhusu Uhusiano wa Wakristo na Waislam?
Dunia ya leo imejaa chuki, husuda fitna na vita. Upendo umepoa, kiburi kimetamalaki na chuki imeota mizizi. Mbaya zaidi ni kuwa dini...
Apr 4
0

HTEMANTIKA - Guardians of the Wanjeja Throne
Htemanyika: Guardians of the Wanjeja Throne is a captivating novel that blends African folklore, history, and fantasy. Set in a mystical...
Mar 1
0
Je Uishike Siku ya Sabato?
Mojawapo ya maswali yanayowasumbua kichwa Wakristo wengi ni hili la SABATO. Watu wengi hujiuliza, Je, Mkrito wa leo anapaswa kuishika...
Feb 28
0
Je! Unaweza Kuwa Mtakatifu?
Kila mtu mwenye akili timamu anajua kwamba baada ya maisha haya atakufa; na baada ya kufa aidha ataenda peponi (mbinguni) au ataenda...
Feb 28
0

Umuhimu wa Tanzania Kujiandaa kwa Majanga na Dharura za Kitaifa
Katika dunia ya leo yenye changamoto nyingi za kiuchumi, kijamii, na kiusalama, nchi yoyote inayotaka kuendelea ni lazima iwe na mikakati...
Feb 11
0

Mgogoro wa Congo: Funzo Kubwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mgogoro unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), hasa kati ya serikali na kundi la waasi la M23, umeibua maswali...
Feb 8
0

Somo Kuu Kutoka Uchaguzi wa CHADEMA: Haki, Uongozi wa Heshima, na Maadili ya Kisiasa
Uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umeacha alama kubwa si tu ndani ya chama hicho, bali pia katika taswira ya siasa...
Jan 22
0

CHADEMA Imenasa Kwenye Mtego wa ‘Misinformation’ ?
Katika a ulimwengu wa siasa, idara za usalama na mashirika yenye maslahi binafsi mara nyingi hutumia mbinu mbalimbali kudhoofisha...
Dec 31, 2024
0

Matumizi ya Viuatilifu Hatari Nchini - Rais Anadanganywa?
Katika jitihada za kuinua kilimo na kukabiliana na changamoto za uzalishaji, Tanzania imeendelea kuruhusu matumizi ya viuatilifu ambavyo...
Dec 27, 2024
0

Mabadiliko ya Mara kwa Mara ya Mawaziri na Wakuu wa Idara: Yanaongeza Tija au Mzigo?
Jana, tarehe 10 Desemba 2024, Rais wa JMT mheshimiwa Samia Suluhu Hassan aliwaapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni kuongoza...
Dec 11, 2024
0

Hapana! Tusikubali Iddi Amin Dada Kuwa ‘Role Model’ Wetu.
Wakati wa utawala wa Iddi Amin (1971–1979), Uganda ilishuhudia mateso na ukandamizaji mkubwa. Iddi Amin aliwachukia wanasiasa, wataalam,...
Dec 1, 2024
0

Ugumu wa Kuiondoa CCM Madarakani Unaanzia Hapa…
Kwa mujibu wa katiba, Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi. Kwa hiyo mtanzania anayo...
Nov 25, 2024
0


Kutukana Viongozi Matusi ya Nguoni ni Utoto - Matusi Hayajengi Hoja.
Katika jamii ya kisasa, kuna ongezeko la vijana ambao wanaotumia mitandao ya kijamii na majukwaa mengine ya umma kutukana na kutoa lugha...
Nov 22, 2024
0

Kuaga Maiti au Uokoaji?—Maamuzi Mabovu Katika Kipindi cha Maafa
Nianze kwa kutoa pole kwa wananchi wote waliofikwa na maafa, kujeruhiwa au kupteza mali zao katika ajali hii mbaya ya kuangukiwa ba...
Nov 20, 2024
0


Ubaguzi Katika Mfumo wa Demokrasia Tanzania - Nani Anapendezwa na Aibu Hii?
Kwa miaka mingi Tanzania ilijijengea sifa ya kuwa nchi inayofuata misingi ya demokrasia na utawala bora. Tangu kupata uhuru wake...
Nov 9, 2024
0

Ushindi wa Donald Trump ni Onyo kwa Serikali ya CCM na Funzo kwa Vyama vya Upinzani Tanzania
Ushindi wa Donald Trump dhidi ya Kamala Harris katika uchaguzi wa Marekani wa 2024 unatoa ujumbe muhimu kwa siasa za Tanzania. Funzo kuu...
Nov 8, 2024
0

Madhara na Hatari ya Siasa za Uchama na Ubinafsi kwa Mustakabali wa Tanzania
Siasa za Tanzania zimekuwa zikiathiriwa kwa kiasi kikubwa na uchama na ubinafsi wa viongozi, ambapo maslahi ya taifa hutupiliwa mbali na...
Nov 3, 2024
0

Serikali Inashindwa Kubuni Vyanzo Vipya vya Mapato?
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikitegemea kwa kiasi kikubwa kodi na tozo kama vyanzo vikuu vya mapato ya serikali....
Nov 1, 2024
0

Umilikishaji Silaha Kiholela - Tutavuna Tunachopanda
Kumiliki silaha ni jukumu kubwa linalohitaji mafunzo maalum, nidhamu, na uangalifu wa hali ya juu. Madhara ya kuongezeka kwa umiliki wa...
Oct 28, 2024
0
bottom of page