top of page
Makala za Mwanadikala


Tanzania: Kutoka Taifa la Maono Hadi Maandamano na Mauaji. Tumefikaje Hapa?
Na. Godwin Chilewa Kwa miongo kadhaa baada ya uhuru, Tanzania ilisimama kama taa ya matumaini barani Afrika. Chini ya uongozi wa Julius Nyerere, taifa lilijijengea heshima kubwa kimataifa kwa misingi ya siasa za ujamaa, mshikamano wa kijamii, na mchango wake katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika. Tanzania ilikuwa nchi, wazo, mfano wa maadili, utu, na uongozi wenye dhamira. Leo, taswira hiyo imechakaa. Malalamiko yameongezeka: rushwa imekithiri, pengo kati ya matajiri
5 hours ago


Tanzania Kwenye Kashfa ya Silaha Marekani
Na Godwin Chilewa Tanzania imeingia kwenye kashfa nyingine kubwa kufuatia kuhusishwa kwenye kesi ya usafirishaji haramu wa silaha inayosikilizwa katika Mahakama ya Shirikisho la Marekani, Eastern District of Virginia, moja ya mahakama zinazoshughulikia kesi nyeti za usalama wa taifa na uhalifu wa kimataifa. Katika kesi hiyo, idara ya sheria ya Marekani (U.S. Department of Justice) imemshitaki raia wa Tanzania, Subiro Osmund Mwapinga, pamoja na washirika wake wa kimataifa, k
1 day ago


TISS, Uwajibikaji na Hatari ya Ujumlishaji Usio na Msingi
Na. Rev. Godwin Chilewa Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwa na wito wa kutaka kuitangaza Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania (TISS) kama kundi la kigaidi. Wito huu, unaochochewa na ripoti za vurugu na matukio ya baada ya uchaguzi, madai ya utekaji, na ukiukwaji wa haki za binadamu, unaonyesha hofu halisi ya wananchi. Hata hivyo, madai ya kutaka kuitangaza taasisi hii kuwa “kundi la kigaidi” ni jambo lisilofaa kisheria na kimaadili. Ukiangalia kwa kina utagundua kuwa chanzo
4 days ago


TISS, Accountability, and the Danger of Reckless Generalization
By. Rev. Godwin Chilewa In recent weeks, a growing chorus of voices has called for Tanzania’s Intelligence and Security Service (TISS) to be declared a terrorist organization . These calls, fueled by reports of post-election violence, alleged abductions, and human rights concerns, reflect deep public anxiety. However, labeling an intelligence agency a “terrorist organisation” through public rhetoric is not only legally flawed but also dangerously simplistic. At the heart of
4 days ago


MARUFUKU YA MIKUTANO YA KISIASA TANZANIA: MIPAKA YA MAMLAKA YA KISHERIA NA ATHARI KWA DEMOKRASIA NA DIPLOMASIA
Uamuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzania Bwana Patrobas Katambi kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa kwa kigezo cha hali mbaya ya usalama umeibua mjadala mpana wa kisheria, kisiasa na kidiplomasia. Katika muda mfupi tu tayari hatua hii imepingwa vikali na wadau wa sheria na haki za binadamu, kwa madai kuwa inakiuka misingi ya Katiba na kuhatarisha mustakabali wa demokrasia nchini. Aidha, marufuku hii inakuja katika kipindi nyeti ambapo taifa tayari l
5 days ago


Rais Samia Suluhu Hassan Anakwenda Tunakotaka Kwenda?
Rais Samia Suluhu Hassan Katika siasa za kimataifa, maamuzi ya kiongozi hayapimwi kwa nia bali kwa athari zake. Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi imezua mjadala mpana kuhusu mwelekeo wa sera ya nje ya Tanzania. Hii ni katika wakati ambapo mataifa mengi ya Magharibi ikiwa pamoja na Marekani, nchi za Umoja wa Ulaya, na Canada yamechukua msimamo mkali dhidi ya Urusi kufuatia vita vya Ukraine. Swali la msingi linabaki: je, Tanzania inaelekea wapi kisiasa na kiuchumi
Jun 22
bottom of page








