top of page
Makala za Mwanadikala


Ukimya ni Dhahabu: Hekima ya Uongozi Katika Kunyamaza
Katika historia ya mataifa mengi duniani, uongozi bora haujapimwa tu kwa uwezo wa kusema, bali pia kwa hekima ya kuchagua wakati wa kunyamaza. Biblia, ambayo ni hazina ya hekima ya milele, inasisitiza kuwa mtu mwenye hekima si yule anayejibu kila jambo, bali yule anayeweza kuzuiya ulimi wake katika misukosuko ya hoja na shinikizo la umaarufu. Katika siku za hivi karibuni, tunashuhudia mwenendo unaozua maswali kuhusu mtindo wa mawasiliano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tan
Jun 22, 2025


Tumedhamiria Kuua Demokrasia?
Tarehe 10 Juni 2025 Mahakama nchini imetoa zuio la shughuli zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nchini. Zuio hilo...
Jun 10, 2025


Onyo kwa Bunge la JMT
Mauaji ya halaiki ya Rwanda hayakuanza kwa mapanga. Yalianza kwa kauli—mzaha wa kisiasa, dharau kwa wapingaji, na lugha ya kibaguzi. Pale...
Jun 4, 2025


Tukubali, Tusikubali Tuna Bunge la Hovyo Sana!
Tukubali tusikubali, tuna Bunge la hovyo. Hii ni kauli inayozidi kuenea miongoni mwa Watanzania wengi waliokerwa na mwenendo wa Bunge la...
May 27, 2025


UTEKAJI NA USALAMA NCHINI: Uchambuzi wa Kauli ya Mhe. Gwajima na Mapendekezo ya Kuimarisha Ulinzi wa Raia
Tarehe 24 Mei 2025, Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mhe. Askofu Dkt. Josephat Gwajima, alizungumza na waandishi wa habari na kutoa tahadhari...
May 24, 2025


“Heri Mwisho wa Jambo Kuliko Mwanzo Wake”: Uchambuzi wa Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan
“Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake” (Mhubiri 7:8). Maneno haya ya Mhubiri yamebeba uzito mkubwa kwa viongozi – hasa katika kipindi...
May 22, 2025
bottom of page








