top of page
Makala za Mwanadikala


Tanzania: Kutoka Taifa la Maono Hadi Maandamano na Mauaji. Tumefikaje Hapa?
Na. Godwin Chilewa Kwa miongo kadhaa baada ya uhuru, Tanzania ilisimama kama taa ya matumaini barani Afrika. Chini ya uongozi wa Julius Nyerere, taifa lilijijengea heshima kubwa kimataifa kwa misingi ya siasa za ujamaa, mshikamano wa kijamii, na mchango wake katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika. Tanzania ilikuwa nchi, wazo, mfano wa maadili, utu, na uongozi wenye dhamira. Leo, taswira hiyo imechakaa. Malalamiko yameongezeka: rushwa imekithiri, pengo kati ya matajiri
2 hours ago


Tanzania Kwenye Kashfa ya Silaha Marekani
Na Godwin Chilewa Tanzania imeingia kwenye kashfa nyingine kubwa kufuatia kuhusishwa kwenye kesi ya usafirishaji haramu wa silaha inayosikilizwa katika Mahakama ya Shirikisho la Marekani, Eastern District of Virginia, moja ya mahakama zinazoshughulikia kesi nyeti za usalama wa taifa na uhalifu wa kimataifa. Katika kesi hiyo, idara ya sheria ya Marekani (U.S. Department of Justice) imemshitaki raia wa Tanzania, Subiro Osmund Mwapinga, pamoja na washirika wake wa kimataifa, k
1 day ago


TISS, Uwajibikaji na Hatari ya Ujumlishaji Usio na Msingi
Na. Rev. Godwin Chilewa Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwa na wito wa kutaka kuitangaza Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania (TISS) kama kundi la kigaidi. Wito huu, unaochochewa na ripoti za vurugu na matukio ya baada ya uchaguzi, madai ya utekaji, na ukiukwaji wa haki za binadamu, unaonyesha hofu halisi ya wananchi. Hata hivyo, madai ya kutaka kuitangaza taasisi hii kuwa “kundi la kigaidi” ni jambo lisilofaa kisheria na kimaadili. Ukiangalia kwa kina utagundua kuwa chanzo
4 days ago


TISS, Accountability, and the Danger of Reckless Generalization
By. Rev. Godwin Chilewa In recent weeks, a growing chorus of voices has called for Tanzania’s Intelligence and Security Service (TISS) to be declared a terrorist organization . These calls, fueled by reports of post-election violence, alleged abductions, and human rights concerns, reflect deep public anxiety. However, labeling an intelligence agency a “terrorist organisation” through public rhetoric is not only legally flawed but also dangerously simplistic. At the heart of
4 days ago


MARUFUKU YA MIKUTANO YA KISIASA TANZANIA: MIPAKA YA MAMLAKA YA KISHERIA NA ATHARI KWA DEMOKRASIA NA DIPLOMASIA
Uamuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzania Bwana Patrobas Katambi kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa kwa kigezo cha hali mbaya ya usalama umeibua mjadala mpana wa kisheria, kisiasa na kidiplomasia. Katika muda mfupi tu tayari hatua hii imepingwa vikali na wadau wa sheria na haki za binadamu, kwa madai kuwa inakiuka misingi ya Katiba na kuhatarisha mustakabali wa demokrasia nchini. Aidha, marufuku hii inakuja katika kipindi nyeti ambapo taifa tayari l
5 days ago


Rais Samia Suluhu Hassan Anakwenda Tunakotaka Kwenda?
Rais Samia Suluhu Hassan Katika siasa za kimataifa, maamuzi ya kiongozi hayapimwi kwa nia bali kwa athari zake. Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi imezua mjadala mpana kuhusu mwelekeo wa sera ya nje ya Tanzania. Hii ni katika wakati ambapo mataifa mengi ya Magharibi ikiwa pamoja na Marekani, nchi za Umoja wa Ulaya, na Canada yamechukua msimamo mkali dhidi ya Urusi kufuatia vita vya Ukraine. Swali la msingi linabaki: je, Tanzania inaelekea wapi kisiasa na kiuchumi
Jun 22


Ukimya ni Dhahabu: Hekima ya Uongozi Katika Kunyamaza
Katika historia ya mataifa mengi duniani, uongozi bora haujapimwa tu kwa uwezo wa kusema, bali pia kwa hekima ya kuchagua wakati wa kunyamaza. Biblia, ambayo ni hazina ya hekima ya milele, inasisitiza kuwa mtu mwenye hekima si yule anayejibu kila jambo, bali yule anayeweza kuzuiya ulimi wake katika misukosuko ya hoja na shinikizo la umaarufu. Katika siku za hivi karibuni, tunashuhudia mwenendo unaozua maswali kuhusu mtindo wa mawasiliano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tan
Jun 22, 2025


Tumedhamiria Kuua Demokrasia?
Tarehe 10 Juni 2025 Mahakama nchini imetoa zuio la shughuli zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nchini. Zuio hilo...
Jun 10, 2025


Onyo kwa Bunge la JMT
Mauaji ya halaiki ya Rwanda hayakuanza kwa mapanga. Yalianza kwa kauli—mzaha wa kisiasa, dharau kwa wapingaji, na lugha ya kibaguzi. Pale...
Jun 4, 2025


Tukubali, Tusikubali Tuna Bunge la Hovyo Sana!
Tukubali tusikubali, tuna Bunge la hovyo. Hii ni kauli inayozidi kuenea miongoni mwa Watanzania wengi waliokerwa na mwenendo wa Bunge la...
May 27, 2025


UTEKAJI NA USALAMA NCHINI: Uchambuzi wa Kauli ya Mhe. Gwajima na Mapendekezo ya Kuimarisha Ulinzi wa Raia
Tarehe 24 Mei 2025, Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mhe. Askofu Dkt. Josephat Gwajima, alizungumza na waandishi wa habari na kutoa tahadhari...
May 24, 2025


“Heri Mwisho wa Jambo Kuliko Mwanzo Wake”: Uchambuzi wa Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan
“Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake” (Mhubiri 7:8). Maneno haya ya Mhubiri yamebeba uzito mkubwa kwa viongozi – hasa katika kipindi...
May 22, 2025


Maandalizi ya Uchaguzi Kweli, au Hekaheka za Kutafuta Uhalali wa Kutawala?
Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2025 yanaendelea kwa kasi, lakini hali ya kisiasa inayoambatana na maandalizi hayo...
May 17, 2025


Bunge Lisifanye Mzaha Kwenye Mambo ya Msingi
Bunge ni chombo muhimu katika kuwakilisha wananchi, kutunga sheria, na kusimamia serikali. Hivyo basi, linapaswa kuwa sauti ya ukweli,...
May 11, 2025


Viaticum - Sakramenti ya Mwisho
Ilikuwa jioni tulivu kwenye viwanja vya ikulu ya Kipapa ya Vatican. Jua lililokuwa likizama lilitengeneza vivuli virefu vya rangi ya...
May 2, 2025


CHANZO CHA WANANCHI KUKOSA HAKI KISHERIA: Mfumo wa Utawala Usio na Uwajibikaji (Systemic Failure)
Wiki hii kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu idadi kubwa ya watu wasio na hatia waliotupwa katika magereza mbalimbali nchini. Mahabusu hao...
Apr 29, 2025


Tunajenga Tanzania Mpya Isiyokuwa na Haki: Wapinzani Wateswa Serikali Yafumbia Macho
Katika kile kinachoonekana kuwa mwendelezo wa dhuluma dhidi ya demokrasia, polisi nchini Tanzania wamerudia tena mazoea yao ya kikatili...
Apr 26, 2025
bottom of page








